Tunajadili kinachoendelea nchini DRC, ambapo mjadala kuhusu mapendekezo ya kufanyia katiba marekebisho, ikiwemo muhula wa urais, unazidi kuibua hisia mseto, baadhi ya raia wakionekana kuunga mkono na baadhi kupinga.
Unazungumziaje mjadala huu nchini DRC?
Skiza maoni ya mskilizaji.