Search

Home > Habari RFI-Ki > EAC : Kenya na Rwanda yakumbatia camera za siri barabarani
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

EAC : Kenya na Rwanda yakumbatia camera za siri barabarani

Category: News & Politics
Duration: 00:09:45
Publish Date: 2026-03-11 16:00:07
Description:

Tunajadili hatua ya Mataifa ya Kenya na Rwanda, kuanza kukumbatia matumizi ya kamera za siri barabarani ili kunasa madereva wanaokiuka sheria za barabarani, hatua inayolenga kupunguza ajali za mara kwa mara ambazo zimekuwa zikisababisha vifo maelfu ya raia.

Je, unafikiri kamera za siri barabarani zitasaidia kupunguza ajali za barabarani?

Ndilo swali tumekuuliza.

Skiza maoni ya baadhi ya waskizaji.

Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7