Search

Home > Habari RFI-Ki > Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa

Category: News & Politics
Duration: 00:10:10
Publish Date: 2024-05-13 16:00:02
Description:

Kongamano la kwanza la mashirika ya kiraia la Umoja wa Mataifa limekamilika jijini Nairobi wiki iliyopita, huku wito wa mazungumzo ya uwazi na ukweli kati ya serikali na mashirika hayo ukisisitizwa.

Upi mchango wa mashirika ya kiraia kwenye nchi zetu?

Unadhani yamefanya vya kutosha kuzisaidia jamii na kuchochea maendeleo?

Kipi zaidi kifanyike kuboresha uhusiano kati yake na Serikali?

 

Ski makala

Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7