Search

Home > Habari RFI-Ki > Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

Category: News & Politics
Duration: 00:09:53
Publish Date: 2024-05-15 16:00:02
Description:

Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama  la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka.

Hakuna sababu maalumu zilizotolewa na serikali ya Somalia, hapa tunakuuliza je ni sahihi kwa ujumbe huu wa umoja wa mataifa  kuondoka kipindi hiki nchi hiyo ikizidi kupitia changamoto za kiusalama?

 

Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7