Search

Home > Habari RFI-Ki > Sheria ya afya nchini Kenya kusaidia raia wake
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Sheria ya afya nchini Kenya kusaidia raia wake

Category: News & Politics
Duration: 00:10:08
Publish Date: 2023-10-23 16:49:00
Description:

Ijumaa iliyopita nchi ya Kenya ilizindua mswada wake wenye utata unaosemekana kusaidia kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wake.

Mpango huo wa Afya ukionekana kuwa mzigo zaidi kwa Wakenya wenye mishahara ambao sasa watatozwa 2.75% ya mishahara yao, kugharamia hazina hiyo ya Afya.

Tumemuuliza msikilizaji kuwa ana maoni gani kuhusu hatua hii, nchini Kenya?

Na je serikali yako imefanya nini kuafikia huduma za afya kwa wote?

Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7