Tunaangazia uchaguzi ambao umekamilika wiki iliyopita nchini Zimbabwe ambapo Rais Emmerson Mnangagwa alitangazwa mshindi wa uchaguzi nchini humo kwa asilimia 53 ya kura wakati mpinzani wake mkuu Nelson Chamisa akikataa matokeo hayo na kudai kuibiwa kura.