Juma hili dunia imeadhimisha kumbukizi ya kumalizika biashara ya utumwa, wakati huu biashara ya binadamu ikishamiri, maelfu ya raia hasa kutoka Afrika wakisafiri na kusafirishwa kwenda Ulaya kutafuta maisha.Pamoja na wasikilizaji wetu tunaangazia nini kifanyike kukomesha biashara ya binadamu? Ungana na mwandishi wetu kupata mengi zaidi