Bara la Afrika hivi leo limeadhimisha siku ya kupinga ufisadi wakati huu hali ya ufujaji na ubadhirifu ikiripotiwa kusalia juu katika mataifa mengi ya Afrika.
Unazungumziaje hatua zilizopigwa na nchi yako kupambana na ufisadi?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.