Search

Home > Habari RFI-Ki > Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan

Category: News & Politics
Duration: 00:09:53
Publish Date: 2023-06-05 16:19:27
Description:

 Nchi za  Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .

Leo hii ,tunajadiliana kuhusu wito wa  Marekani na Saudi Arabia,mwishoni mwa wiki ,kutaka  kufanyika upya kwa mazungumzo ya amani kati ya pande hasimu zinazopigana nchini Sudan wakati huu mapigano makali yakiendelea kushuduiwa.

Hivi  Unaamini kuwa nchi za kikanda zinashindwa kutatua tatizo la Sudan?

Unafikiri  ni  wakati mwafaka wa kuwatuma askari wa kulinda amani nchini Sudan  na

Nini kingine kinaweza kufanyika ile kuleta suluhu la kudumu?

Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7