Search

Home > Habari RFI-Ki > Polisi nchini DRC watumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya upinzani
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Polisi nchini DRC watumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya upinzani

Category: News & Politics
Duration: 00:10:08
Publish Date: 2023-05-23 15:55:29
Description: Nchini DRC upinzani umelaani polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuyazima maandamano yao mwishoni mwa juma lililopita jijini Kinshasa, wakati video ikionesha polisi wakimdhalilisha na kumpiga kijana moja ikiendelea kusambaa mitandaoni. Mwanasiasa mwengine wa Upinzani amejikuta msafara wake umezuiwa kuelekea katika eneo la Congo central hivi leo kuenda kukutana na wafuasi wake. Tumekuuliza msikilizaji unafikiri polisi wanastahili kuwa tabia gani? Je polisi nchini kwako hukabiliana na maandamano vipi? Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kupata maoni zaidi
Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7