Search

Home > Habari RFI-Ki > Muswada wa kuwafungia baadhi ya wagombea nchini DRC waibua hisia
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Muswada wa kuwafungia baadhi ya wagombea nchini DRC waibua hisia

Category: News & Politics
Duration: 00:09:59
Publish Date: 2023-04-06 15:03:18
Description: Nchini DRC, muswada wa sheria unaotaka mgombea urais wa nchi hiyo awe na uraia wa taifa hilo kwa kuzaliwa na wazazi wote wawili Wakongomani, muswada ambao tayari umeibua hisia baadhi wakiona ni kama unalenga kuwazuia baadhi ya wagombea wanaojipanga kwa uchaguzi wa mwaka ujao. Unadhani wagombea waliozaliwa na wazazi kutoka nchi tofauti wapewe nafasi kuongoza? Wadadasi wanahisi kuwa sheria hiyo inamlenga Mosi Katumbi, ambaye analenga kuwania urais na ana ushawishi mkuwa wa kisiasa kuelekea uchaguzi wa mwaka huu. Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7