Search

Home > Habari RFI-Ki > Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aambukizwa Covid 19
Podcast: Habari RFI-Ki
Episode:

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aambukizwa Covid 19

Category: News & Politics
Duration: 00:10:01
Publish Date: 2021-12-16 16:17:39
Description: Kwa majuma kadhaa sasa virusi vipya vya Omicron, vimeendelea kuripotiwa katika nchi mbalimbali duniani viongozi wakiwataka raia kuchoma dozi ya tatu ya chanjo, dhidi ya virusi hivyo ili kuongeza kinga, haya yakijiri huku Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa akithibitishwa kuambukizwa Covid 19 licha ya kukamilisha dozi zote mbili. Hali ya maambukizi ikoje katika nchi yako? Nini kifanyike kudhibiti kuenea zaidi kwa kirusi hiki kipya? Tutumie maoni ya sauti kwenda namba yetu ya whatsapp, ukianza na +254 110 000 420
Total Play: 0

Some more Podcasts by France Médias Monde

100+ Episodes
Cap Océan I .. 10+     3
100+ Episodes
Kida da Al'a .. 10+    
60+ Episodes
300+ Episodes
Une semaine .. 10+     10+
50+ Episodes
Imprensa 2    
100+ Episodes
700+ Episodes
500+ Episodes
Eco d'ici Ec .. 8     7